Mfenesi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mfenesi
Remove ads

Mfenesi (jina la kisayansi Artocarpus heterophyllus; kwa Kiingereza Jackfruit, Jack tree n.k.) ni mti wa familia Moraceae.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Tunda lake huitwa fenesi na ni tunda la mti lililo kubwa kabisa kuliko matunda ya mti yote (hadi kg 36 na sm 90x20). Hata hivyo, mti mmoja unaweza kuzaa matunda 100 hadi 200 kwa mwaka.

Mbao za mti huo ni nzuri kwa utengenezaji wa fenicha mbalimbali.

Asili ya mti huu ni Uhindi. Siku hizi hupandwa mahali pengi pa kanda ya tropiki ambapo kunanyesha kiasi.

Remove ads

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mfenesi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads