Miami

From Wikipedia, the free encyclopedia

Miami
Remove ads

Miami ni mji wa Marekani katika jimbo la Florida mwenye wakazi 480,00 na pamoja na rundiko la jiji ni takriban milioni 2.2 katika eneo lake. Mji upo m 2 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Mji wa Miami
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Mahali pa Miami katika Miami-Dade County na Florida
Thumb
Miami 1896
Thumb
Miami 2007

Mji ulianzishwa mwaka 1896 ukiwa na wakazi 300 pekee. Ukakua sana baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia. Baada ya mapinduzi ya Fidel Castro katika Kuba ulipokea wakimbizi wengi kutoka kisiwa kile na kuwa kitovu cha utamaduni wenye lugha ya Kihispania katika Marekani.

Sehemu muhimu ya uchumi ni utalii.

Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Miami kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads