Michael Laudrup
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Michael Laudrup (alizaliwa 15 Juni 1964) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu wa Denmark. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Denmark.

Laudrup ameichezea timu ya taifa ya Denmark tangu mwaka wa 1982. Laudrup alicheza Denmark katika mechi 103, akifunga mabao 35.[1]
Takwimu
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads