Michael Laudrup

From Wikipedia, the free encyclopedia

Michael Laudrup
Remove ads

Michael Laudrup (alizaliwa 15 Juni 1964) ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu wa Denmark. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Denmark.

Thumb

Laudrup ameichezea timu ya taifa ya Denmark tangu mwaka wa 1982. Laudrup alicheza Denmark katika mechi 103, akifunga mabao 35.[1]

Takwimu

[1]

Maelezo zaidi Timu ya Taifa ya Denmark, Mwaka ...

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads