Kitabu cha Methali

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kitabu cha Methali
Remove ads

Kitabu cha Mithali kimo katika Tanakh (Biblia ya Kiebrania), hivyo pia katika Agano la Kale la Biblia ya Kikristo ambamo ni cha kwanza kati ya vitabu vya hekima.

Thumb
Kitabu cha Methali kwa Kiebrania.

Historia yake

Kweli kitabu hicho kinaonekana cha zamani kuliko vile vya hekima vinavyofuata; labda kilikamilika katika karne ya 4 KK, kisha kukusanya tafakuri za vizazi kadhaa juu ya maisha kwa mtazamo wa kibinadamu na wa imani.

Lugha yake

Kitabu kiliandikwa kwa Kiebrania na kutafsiriwa kwa mara ya kwanza katika lugha ya Kigiriki huko Misri (tafsiri maarufu kama Septuaginta).

Yaliyomo

Yaliyomo ni maadili ambayo yamuongoze mtu maishani ili awe na heri.

Ufafanuzi wake

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads