Kitabu cha Methali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kitabu cha Mithali kimo katika Tanakh (Biblia ya Kiebrania), hivyo pia katika Agano la Kale la Biblia ya Kikristo ambamo ni cha kwanza kati ya vitabu vya hekima.
Historia yake
Kweli kitabu hicho kinaonekana cha zamani kuliko vile vya hekima vinavyofuata; labda kilikamilika katika karne ya 4 KK, kisha kukusanya tafakuri za vizazi kadhaa juu ya maisha kwa mtazamo wa kibinadamu na wa imani.
Lugha yake
Kitabu kiliandikwa kwa Kiebrania na kutafsiriwa kwa mara ya kwanza katika lugha ya Kigiriki huko Misri (tafsiri maarufu kama Septuaginta).
Yaliyomo
Yaliyomo ni maadili ambayo yamuongoze mtu maishani ili awe na heri.
Ufafanuzi wake
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads