Tafakuri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tafakuri
Remove ads

Tafakuri (kutoka neno la Kiarabu linalokazia kufikiri) ni zoezi la binadamu katika kutumia vema akili yake.

Thumb
Sanamu ya Buddha akiwa anatafakari.
Thumb
Watu wakitafakari huko Madison Square Park, New York City, Marekani.
Thumb
Akiamini sana tafakuri katika Ukristo, Mtakatifu Pio wa Pietrelcina alisema: "Kwa kusoma vitabu, mtu anamtafuta Mungu; kwa kutafakari mtu anampata".[1]

Lengo linaweza kuwa utulivu wa nafsi, ambao unasaidia pia afya ya mwili, au uchimbaji wa jambo fulani, au utafutaji wa jibu la swali lililojitokeza, au uamuzi kuhusu maisha au mengineyo ya namna hiyo.

Tafakuri za makusudi lilitumika toka zamani katika dini mbalimbali hata kwa kufumba macho, kukariri maneno fulani, kutumia tasbihi za aina mbalimbali, n.k.

Kwa namna ya pekee, tafakuri inazingatiwa katika monasteri.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads