Mkoa wa Aksaray

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Aksaray
Remove ads

Aksaray ni mkoa wa kati nchini Uturuki. Mkoa huu unapakana na mikoa mingine kama vile Konya kwa upande wa magharibi na kusini yake, Niğde kwa upande wa kusini-mashariki, Nevşehir kwa upande mashariki, na Kırşehir kwa upande wa kaskazini. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 7,626. Mji mkuu wa mkoa huu ni Aksaray.

Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Aksaray nchini Uturuki, Maelezo ...
Remove ads

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Aksaray umegawanyika katika wilaya 7 (wilaya kuu imekoozeshwa):

Viungo vya Nje


Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads