Mkoa wa Niğde

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Niğde
Remove ads

Niğde ni kaji mkoa kadogo kaliopo vijijini mwa sehemu ya kaskaini mwa kanda ya Kati ya Anatolia huko nchini Uturuki. Idadi ya wakazi kwa mwaka wa 2007 ilikuwa 331.677, ambao wengine 100,418 wanaishi katika jiji la Niğde. Mkoa umechukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 7,312. Mikoa ya karibu na mkoa huu ni pamoja na Kayseri, Adana, Mersin, Konya, Aksaray na Nevşehir.

Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Niğde nchini Uturuki, Maelezo ...
Remove ads

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Niğde umegawanyika katika wilaya 6 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Niğde kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads