Mkoa wa Batman

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Batman
Remove ads

Batman (kifupi cha milima ya Bati Raman) ni jina la mkoa uliopo nchini Uturuki, ambao unajulikana sana kwa kuwa na Wakurdi wengi sana[1][2]. Upo mjini kusini-mashariki mwa Anatolia. Mkoa una idadi ya wakazi wapatao 500,000.

Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Batman nchini Uturuki, Maelezo ...
Remove ads

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Batman umegawanyika katika wilaya 6 (mji mkuu umekoozeshwa):

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads