Mkoa wa Ordu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Ordu
Remove ads

Ordu ni jina la kutaja mkoa uliopo nchini Uturuki. Upo kwenye pwani ya Bahari Nyeusi. Mkoa unaopakana karibu na hapa ni pamoja na Samsun upande wa kaskazini-maghribi, Tokat upande wa kusini-magharibi, Sivas upande wa kusini, na Giresun upande wa mashariki. Mji mkuu wake ni Ordu.

Thumb
Muonekano wa Ordu kutoka kilama cha Boztepe


Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Ordu nchini Uturuki, Maelezo ...


Remove ads

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Ordu umegawanyika katika wilaya 19 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje


Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Ordu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads