Mkoa wa Tokat

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Tokat
Remove ads

Tokat ni jina la mkoa uliopo mjini kaskazini mwa nchi ya Uturuki. Mkoa unapakana karibu kabisa na mikoa ya jirani kama vile Amasya kwa upande wa kaskazini-magharibi, Yozgat upande wa kusini-magharibi, Sivas kwa upande wa kusini-mashariki, na Ordu kwa upande wa kaskazini-mashariki. Mji mkuu wake ni Tokat, ambao umelalia katika kwenye eneo la Kanda ya Bahari Nyeusi, takriban kilomita 422 kutoka mjini Ankara.

Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Tokat nchini Uturuki, Maelezo ...
Remove ads

Wilaya za mkoani hapa

Mkoa wa Tokat umegawanyika katika wilaya 12 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Tokat kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads