Mkoa wa Sakarya

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Sakarya
Remove ads

Sakarya ni jina la mkoa uliopo katika eneo la pwani ya Bahari Nyeusi huko nchini Uturuki. Mkoa unapakana na baadhi ya mikoa kama vile Kocaeli kwa upande wa magharibi, Bilecik kwa upande wa kusini, Bolu kwa upande wa kusini-mashariki, na Düzce kwa upande wa mashariki. Mji mkuu wa Sakarya ni Adapazarı.

Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Sakarya nchini Uturuki, Maelezo ...
Remove ads

Wilaya za mkoani hapa

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Sakarya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads