Mkoa wa Sinop
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sinop ni jina la kutaja mkoa uliopo nchini Uturuki, katika eneo la Bahari Nyeusi. Mji umechukua eneo la kilomita za mrabva zipatazo 5,862. Mikoa inayopakana na mkoa huu ni pamoja na Kastamonu kwa upande wa magharibi, Çorum kwa upande kusini, na Samsun kwa upande wa kusini-mashariki mwa nchi. Mji mkuu wa mkoa huu ni Sinop.
Remove ads
Wilaya za mkoani hapa
Mkoa wa Sinop umegawanyika katika wilaya 9 (mji mkuu umekoozeshwa):
Viungo vya Nje
- Sinop, Turkey Governorship Website Ilihifadhiwa 15 Agosti 2009 kwenye Wayback Machine.
- Official Web Site of Sinop Ilihifadhiwa 2 Septemba 2011 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Sinop kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads