Sinop (Uturuki)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sinop (Uturuki)
Remove ads

Sinop (Kigiriki: Σινώπη au Sinópe) ni jina la mji uliopo katika pwani ya Bahari Nyeusi huko kaskazini mwa nchi ya Uturuki. Mji una wakazi wapatao 47,000. Mji huu kihistoria unajulikana kama Sinope. Pia, huu ndio mji mkuu wa Mkoa wa Sinop.

Thumb
Muonekano wa mji wa Sinop

Marejeo

  • John Garstang, The Hittite Empire (University Press, Edinburgh, 1930).

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sinop (Uturuki) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads