Mkuu wa wilaya
ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mkuu wa wilaya ni kiongozi mkuu wa serikali katika wilaya.
Jukumu la kiutawala la Mkuu wa Wilaya ni kuhakikisha kwamba mifumo ya utawala katika wilaya yake inafanya kazi vizuri na kwa ufanisi.
Kwa Tanzania kiongozi huyo huteuliwa na Rais. Ndiye mwakilishi wa Rais katika wilaya.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads