Mlima Fuji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mlima Fuji
Remove ads

Mlima Fuji ni mlima wa volikano wenye kimo cha m 3,776 juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Mlima Fuji, Japan, unaonekana kutoka Oshino Hakkai

Uko kwenye kisiwa kikuu cha Honshu nchini Japani na unavuta watalii wengi. Ndio mrefu kuliko yote ya nchi hiyo.

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mlima Fuji kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads