Mlima Loleza

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mlima Loleza ni jina la mlima mmojawapo wa milima ya Mbeya, katika Mkoa wa Mbeya kusini mwa Tanzania.

Una urefu wa mita 2,656 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads