Mlima Satima

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mlima Satima (kutoka Kimasai: Oldoinyo Lesatima, yaani "mlima wa ndama"[1]) ni kilele kirefu zaidi cha milima ya Aberdare nchini Kenya ukiwa na kimo wa mita 4,001 juu ya usawa wa bahari[2][3][4].

Satima ni mlima wa tatu kwa urefu nchini Kenya. Unapatikana katika kaunti ya Nyeri.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads