Monza
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Monza ni mji wa Italia katika mkoa wa Lombardia. Mji upo mita 162 juu ya usawa wa bahari.


Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 120,000 wanaoishi katika mji huu.
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads