Wilaya ya Moshi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Moshi
Remove ads

Kwa maana tofauti ya jina hili angalia makala ya maana Moshi

Thumb
Mahali pa Moshi Vijijini (kijani kilichokolea) katika mkoa wa Kilimanjaro.

Wilaya ya Moshi ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Kilimanjaro.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 466,737. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 535,803 [1].

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads