Mrisho Mpoto
Msanii wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mrisho Mpoto (amezaliwa 27 Oktoba 1978[1]) ni msanii wa muziki wa dansi, sanaa ya jukwaani (theatre performances), mwandishi wa vitabu vya mashairi na hadithi zenye mafunzo, msanii wa ngoma za asili kutoka nchini Tanzania. Anafahamika sana kwa jina lake la utani kama Mjomba au Mpoto. Pia, anafahamika kwa kuimba nyimbo kama vile Salam Zangu Mjomba, Nikipata Nauli, Adela, Chocheeni Kuni, Samahani Wangangu, Mtu Huru, Waite na Njoo Uichukue alizoimba na Banana Zorro, Ismail Kipira, Felly Kano, Nuruel, Linah Sanga, Ditto, Peter Msechu, Diamond Platnums.

Mrisho Mpoto ni mmoja kati ya waanzilishi wa kundi la muziki la Parapanda, baadae Mpoto Theatre.
Remove ads
Viungo vya nje
- http://www.bongocelebrity.com/2007/11/26/ushairi-wa-mrisho-mpoto/#more-626 Ilihifadhiwa 15 Februari 2009 kwenye Wayback Machine. (Kiswahili)
- Blogu ya Mpoto (Kiingereza)
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads