Msaada

From Wikipedia, the free encyclopedia

Msaada
Remove ads

Msaada ni huduma au faraja anayopewa mtu anapokuwa na shida au tatizo kama vile ajali, matatizo ya kifamilia, msongo wa mawazo n.k.

Thumb
Maskini akiomba Msaada
Thumb
UNHCR wakitoa Msaada Kenya

Binadamu wote wanahitaji msaada katika maisha yao, hasa mwanzoni na mwishoni. Hivyo ni muhimu kujenga tabia ya kuwa tayari kuutoa na kuupokea vilevile.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads