Mto Atari
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Atari (pia: Atar) unapatikana nchini Uganda kati ya mkoa wa Kaskazini na Mkoa wa Mashariki.
Maji yake yanaishia katika mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads