Mto Itare
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Itare unapatikana katika kaunti ya Bomet nchini Kenya. Ni tawimto la mto Awach ambao unaishia katika ziwa Viktoria, ukichangia hivyo mto Naili na hatimaye Bahari ya Kati.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads