Mto Kihanzi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mto Kihanzi (pia Kihansi) ni kati ya mito ya mkoa wa Morogoro (Tanzania Mashariki) ambayo maji yake yanaishia katika bahari Hindi.

Maporomoko ya maji ya mto Kihansi yalikuwa makazi ya chura wa Kihansi aliyetoweka huko tangu kujengwa kwa lambo la Kihansi.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads