Mto Mareb

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Mareb
Remove ads

Mto Mareb (au Gash) unaanzia katikati ya Ethiopia, unapitia Eritrea kaskazini hadi mashariki mwa Sudan ambapo kwa kawaida unapotea katika mchanga wa jangwani usifikie mto Atbarah, tawimto la Nile.

Thumb
Mto Mareb

Unachangiwa na mto Obel.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads