Mto Mvavi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads

Mto Mvavi (pia: Mvave) ni kati ya mito ya mkoa wa Pwani (Tanzania mashariki).
Maji yake yanaelekea Bahari Hindi. Unaishia baharini kwenye kijiji cha Saadani katika wilaya ya Bagamoyo.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads