Mto Ogowe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Ogowe (au Ogooué) ndio mto muhimu zaidi wa Gabon, na ni wa nne kwa wingi wa maji barani Afrika (baada ya mto Kongo, mto Niger na mto Zambezi)[1].


Chanzo chake ni katika Jamhuri ya Kongo na delta yake kubwa ni kwenye ghuba ya Guinea (bahari ya Atlantiki).
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads