Mto Ogowe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Ogowemap
Remove ads

Mto Ogowe (au Ogooué) ndio mto muhimu zaidi wa Gabon, na ni wa nne kwa wingi wa maji barani Afrika (baada ya mto Kongo, mto Niger na mto Zambezi)[1].

Thumb
Beseni la mto Ogowe.
Thumb
Mto Ogooué.
Thumb
Wanawake na watoto mtoni (1890-1893).

Chanzo chake ni katika Jamhuri ya Kongo na delta yake kubwa ni kwenye ghuba ya Guinea (bahari ya Atlantiki).

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads