Mto Okpara

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Okpara
Remove ads

Mto Okpara ni mto wa nchini Benin na Nigeria.

Thumb
mto okpara

Inatokea katika Idara ya Borgou, inapita kusini na kuwa mpaka kati ya Nigeria na Benin kabla ya kuingia tena Benin na inachangia Mto Ouémé, ambao mwishowe huingia kwenye Bahari ya Atlantiki.

Vijiji kadhaa kando ya mto huu vinagombaniwa na Benin na Nigeria.[1][2].[3]

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads