Muhammed Seif Khatib
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Muhammed Seif Khatib (10 Januari 1951 - 2021) alikuwa Mbunge katika Bunge la Tanzania.
Alipata kuwa waziri kupitia chama cha kisiasa Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pia alikuwa mwandishi wa vitabu vya fasihi ya Kiswahili.
Miongoni mwa kazi zake alizoziandika ni kama vile diwani ya Wasakatonge.
Chanzo
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads