Mvua

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mvua
Remove ads

Mvua ni matone ya maji yanayoanguka chini kutoka mawingu angani.

Thumb
Mawingu wa mvua mlimani

Mvua ni aina ya usimbishaji. Kama matone yafikia kipenyo cha zaidi ya milimita 0.5 huitwa mvua. Kama matone ni madogo zaidi kunaitwa manyonyota. Mgongoni mwa ardhi mvua imetapaka kisawasawa.

Kutokea kwa mvua

Asili ya mvua ni mvuke wa maji katika angahewa. Kiasi cha mvuke hewani kutajwa kama gramu za maji kwa kilogramu ya hewa. [1][2] Kiasi cha unyevu (yaani maji) katika angahewa huitwa unyevuanga. Uwezo wa hewa kushika unyevuanga hutegemea halijoto ya hewa. Hewa baridi ina uwezo mdogo kutunza unyevu ndani yake, kiasi kinaongezeka kadiri halijoto iko juu zaidi. Pale ambapo hewa inafikia hali ya kushiba unyewu unaanza kutonesha yaani matone kutokea. Wakati matone yanafikia kiwango fulani cha uzito yanaanza kuanguka chini yaani mvua inaanza kunyesha.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads