Mwaka wa Lugha wa Kimataifa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mwaka wa 2008 umetangazwa kuwa Mwaka wa Lugha wa Kimataifa na Umoja wa Mataifa katika azimio lililopitishwa tarehe 16 Mei 2007.[1][2]
Mwaka huo, mpango wake ni kujadili mambo ya wingi wa lugha, haki za lugha zote, na mazingira ya kutumia lugha tofauti. Azimio la kutangaza mwaka huo linataja pia shida za lugha ndani ya Umoja wa Mataifa wenyewe.[3]
Shirika la UNESCO limepewa kazi ya kupanga utekelezaji wa mwaka huo, na wameufungulia rasmi kwenye Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama, tarehe 21 Februari 2008.[4]
Remove ads
Viungo vya Nje
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads