Mwenyekiti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mwenyekiti
Remove ads

Mwenyekiti ni kiongozi wa juu katika shirika au kikundi, kama vile bodi au kamati. Mwenyekiti ndiye anyeongoza vikao vyote katika kikundi au shirika husika.

Thumb
Hashimu Rungwe mwenyekiti wa chama cha siasa kutoka Tanzania CHAUMA
Thumb
Samia Suluhu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM kutoka Tanzania

Kwa kawaida huchaguliwa au kuteuliwa na wanashirika au wanakikundi husika kulingana na sheria na kanuni zao.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads