NCCR-Mageuzi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
NCCR-Mageuzi ni chama cha upinzani nchini Tanzania ambacho kilisajiliwa rasmi tarehe 29 Julai 1992 kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992.
Chama hicho kilianzishwa kama matokeo ya juhudi za wananchi wa Tanzania kujikomboa kutokana na ubeberu ambao umejikita katika nchi hiyo tangu mwaka 1884.
Remove ads
Uongozi
Viungo vya nje
- Tovuti ya NCCR-Mageuzi Ilihifadhiwa 29 Mei 2017 kwenye Wayback Machine.
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads