Ubeberu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ubeberu
Remove ads

Ubeberu kikawaida hutaja masuala ya kisiasa eneo la kijiografia linamilikiwa na milki au dola kama vile Dola la Osmani, Dola la Ufaransa, Dola la Urusi,[2] Dola la Uchina, au Dola la Uingereza, na kadhalika.[3] lakini pia neno linaweza kutumika kwa utawala wa kimaarifa, itikadi, maadili na utaalamu, kama himaya ya Ukristo. (tazama Ukristo)[4] au Uislamu (tazama Khalifa).

Thumb
Cecil Rhodes: Cape-Cairo railway project. Founded the De Beers Mining Company and owned the British South Africa Company, which established Rhodesia for itself. He liked to "paint the map British red," and declared: "all of these stars ... these vast worlds that remain out of reach. If I could, I would annex other planets."[1]
Remove ads

Ukosoaji

"Ubeberu umekuwa chini ya kimaadili na kusutwa na wakosoaji wake, na kwa hivyo istilahi hii mara nyingi hutumika kama propaganda za kimataifa kwa ajili ya uenezi wa sera za kigeni kimabavu.

Tazama pia

Marejeo

Soma zaidi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads