Nadhiri za daima
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nadhiri za daima ni zile zinazowekwa hadi kufa, tofauti na nadhiri za muda ambazo mara nyingi zinawekwa kama maandalizi au jaribio kabla ya zile za daima katika mashirika ya kitawa[1][2].
Kadiri ya Mkusanyo wa Sheria za Kanisa la kilatini, muda huo ni kuanzia miaka 3 hadi 6[3].
Kwa kawaida nadhiri hizo zinahusu mashauri ya Kiinjili ya useja mtakatifu, ufukara na utiifu.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads