Nambinzo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Nambinzo ni kata ya Wilaya ya Mbozi katika Mkoa wa Songwe, Tanzania. Msimbo wa posta ni 53314.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 29,757 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 25,951 [2] walioishi humo.

Eneo la Nambinzo lina wakazi wanaojishughulisha na kilimo pamoja na ufugaji na msingi mkuu wao ni kwa ajili ya chakula na si biashara.

Kahawa ndilo zao pekee la biashara kama ilivyo katika wilaya yake na kata nyingine.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads