Nasaba ya Joseon

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nasaba ya Joseon
Remove ads

Nasaba ya Joseon (pia: Chosun) ilikuwa nasaba ya Korea iliyotawala miaka 505, kuanzia mwaka 1392 hadi 1897[1][2].

Thumb
Uenezi wa nasaba ya Joseon.

Iliunga mkono Ukonfusio dhidi ya Ubuddha na Ukristo. Wafuasi wa dini hizo mbili, hasa ya pili, walidhulumiwa pengine kwa ukatili mkubwa.

Angalia pia

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads