Naucalpan

From Wikipedia, the free encyclopedia

Naucalpan
Remove ads

Naucalpan (pia: Naucalpan de Juárez) ndiyo mji mkubwa wa tatu jimboni la Mexico. Kuna wakazi 792,226, pamoja na mitaa ya jirani rundiko la mji lina wakazi 821,442. Mji upo m 930 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 184 km².

Thumb
Sehemu ya Mji wa Naucalpan


Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...

Mji ulianishwa mwaka 1574.

Thumb
Alama ya Naucalpan
Thumb


Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Naucalpan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads