Mexico (jimbo)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mexico (jimbo)
Remove ads

Mexico (jimbo) ni moja kati ya majimbo ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Lina eneo la km² 21,355.

Thumb
Ziwa Avandaro na MWamba Principe kwenye Bonde la Bravo,jimbo la Mexico
Thumb
Bendera ya Mexico
Thumb
Mahali pa Mexico katika Mexiko

Limepakana na Hidalgo, Querétaro, Tlaxcala, Puebla, Morelos, Guerrero na Michoacán.

Kunako mwaka wa 2005, idadi ya wakazi ilikuwa 14,007,495.

Mji mkuu ni Toluca ila mji mkubwa ni San Cristóbal Ecatepec.

Gavana wa jimbo ni Enrique Peña Nieto.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Remove ads

Miji mikubwa

  1. San Cristóbal Ecatepec (1,688,258)
  2. Ciudad Nezahualcóyotl (1,136,300)
  3. Naucalpan (792,226)
  4. Toluca (747,512)

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mexico (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads