Nyuroni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nyuroni
Remove ads

Nyuroni ni seli zinazobeba msukumo wa umeme ndani ya mwili[1]. Ndiyo vitengo vya msingi vya mfumo wa neva na sehemu yake muhimu ni ubongo.

Thumb
Nyuroni.

Kila nyuroni hufanywa na kiini cha seli (pia huitwa soma), chembe za ubongo na aksoni. Chembe za ubongo na aksoni zipo katika muundo wa nyuzi.

Kuna takriban nyuroni bilioni 86 katika ubongo wa binadamu, ambazo zinajumuisha karibu 10% ya seli zote za ubongo.

Nyuroni hutumiwa na seli za gliali na astrosaiti.

Nyuroni huunganishwa kwa kila tishu moja.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads