Nili

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Nili ni rangi ya buluu iliyoiva yaani kati ya buluu na zambarau. Katika lugha za magharibi huitwa "indigo" kwa sababu asili yake iko Uhindi.

Ukweli wa haraka Sehemu ya, Name in kana ...
Nili
( #4B0082)

Hutumika hasa kwa kutia rangi nguo. Inatoka kwa mimea fulani kiasili hasa kwenye mnili (Indigofera tinctoria). Siku hizi, rangi ya nili hutengenezwa mara nyingi kwa usanisi.

Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nili kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads