Nguo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nguo
Remove ads

Nguo ni kitambaa ambacho kinaweza kutumika kufunikia meza, kitanda n.k. lakini hasa kutengenezea mavazi mbalimbali yanayovaliwa na mtu kwa ajili ya kujisitiri, kwa sababu ya kutunza heshima yake na kujikinga dhidi ya baridi, jua, mvua n.k. Ndiyo sababu mara nyingi neno "nguo" linamaanisha mavazi yenyewe.

Thumb
Kitambaa kilivyoshonwa.
Thumb
Vitambaa vya Alpaca katika soko laOtavalo, Ecuador.
Thumb
Duka la nguo huko Mukalla, Yemen.

Nguo huvaliwa kulingana na hali ya hewa na mazingira fulani, lakini pia kulingana na mitindo inayobadilikabadilika kadiri ya nyakati.

Remove ads

Historia ya nguo

Kulingana na wanaakiolojia na wanaanthropolojia, nguo za kwanza zilikuwa manyoya, ngozi za wanyama, majani na nyasi. Uvaaji wa nguo hizi uliwasaidia binadamu haswa katika kujikinga na hewa baya, kujikinga na vumbi pamoja na dhoruba kali.

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads