Ninga-bahari

Familia mbili za ndege wadogo wa bahari From Wikipedia, the free encyclopedia

Ninga-bahari
Remove ads

Ninga-bahari ni ndege wa familia Hydrobatidae na Oceanitidae. Wana mnasaba na walinzi lakini ni wadogo kuliko hawa. Spishi za Hydrobatidae ni weusi au kijivucheusi na weupe kwa kiasi mbalimbali. Spishi za Oceanitidae ni weusi juu na weupe chini. Huruka kwa kupapatika. Hula gegereka wa planktoni na samaki wadogo wakiangama hewani na kukanyaga maji.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Kwa kawaida ninga-bahari huzaa kwa visiwa vya mbali visipokaa watu wala mamalia wengine. Huyatembelea makoloni yao usiku kuzuia ndege au wanyama mbua. Jike hulitaga yai moja tu kwa kawaida ndani ya kishimo au mwanya wa mwamba.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads