Orinoco

From Wikipedia, the free encyclopedia

Orinoco
Remove ads

Mto Orinoco ni kati ya mito mikubwa kabisa ya Amerika ya Kusini mwenye urefu wa 2,410 km.

Ukweli wa haraka Mto wa Orinoco ...
Remove ads

Ni mto wa pekee kwa sababu una midomo miwili tofauti: njia kuu ya maji huelekea kwenye delta ya mto katika bahari ya Karibi. Lakini mkono mmoja unafikisha sehemu ya maji yake katika mto wa Amazonas.

Delta ya Orinoco ilikuwa mahali ambako Kristoforo Kolumbus alikanyaga mara ya kwanza bara la Amerika mwaka 1498.

Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Orinoco kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads