Paa (maana)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Paa ni neno la Kiswahili linaloweza kumaanisha:

  • Paa ni sehemu ya juu ya nyumba ambayo inatumika kuziba eneo la ndani lisionekane kutoka juu na pia kuzuia jua na mvua visiingie ndani.
  • Paa (Mnyama) ni aina ya mnyamapori anayefanana na swara na ana pembe ndefu.
  • Kupaa ni tendo la kuruka na kuelea angani kama ndege.
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads