Pete

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pete
Remove ads

Pete ni mapambo yanayovaliwa na watu kwenye vidole ya mkono. Kwa kawaida hutengenezwa kwa metali.

Thumb
Pete dukani

Pete zenye thamani zaidi hutengenezwa kwa metali adili kama vile dhahabu au fedha. Mara nyingi hupambwa na kito.

Pete za arusi zilikuwa desturi ya kikristo ya Ulaya lakini zimesambaa kote duniani.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads