Daa-mguufarasi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Daa-mguufarasi
Remove ads

Daa-mguufarasi (kutoka kwa Kiing. horseshoe worm) ni wanyama wadogo wa bahari wa faila Phoronida. Faila hiyo ina familia moja tu na spishi 13. Wanyama hao wanafanana na daa wanaobeba taji ya minyiri kwa umbo la nusuduara au kwato ya farasi au kiatu chake. Hutokea katika bahari zote, isipokuwa Bahari ya Antaktiki ambapo hawajavumbuliwa. Kwa kawaida huishi katika neli ndani ya mashapo ya sakafu ya bahari kwa kina cha m 0-400.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads