Chura-kucha

From Wikipedia, the free encyclopedia

Chura-kucha
Remove ads

Vyura-kucha ni aina za vyura ambao wanaishi majini maisha yao yote. Miguu yao ya nyuma ina ngozi katikati ya vidole lakini miguu ya mbele hainayo, isipokuwa vyura-kucha wadogo ambao wana ngozi katikati ya vidole vya miguu yote. Kuna vidole vitano kwa miguu ya nyuma lakini vidole vinne kwa miguu ya mbele. Vidole vitatu vya miguu ya nyuma vina ukucha mweusi. Mwili wao ni mpanapana na ngozi ni ya kuteleza kwa sababu ya ute mwingi. Vyura hawa hawana ulimi. Hufanya sauti kama mialiko kwa mfupa wa hayoidi (hyoid bone).

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za Amerika ya Kusini

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads