Polotsk

From Wikipedia, the free encyclopedia

Polotsk
Remove ads

Polatsk (Kibelarusi Полацк polatsk au Полацак polatsak, Kirusi Полоцк Polotsk) ni mji katika kaskazini ya Belarusi. 2004 ilikuwa na wakazi 86,000. Mji uko kando la mto Dunava ni makao makuu ya wilaya ya Polotsk.

Thumb
Polotsk katika Belarusi
Thumb
Polotsk kando la mto Dunava (picha ya kihistoria ya 1912)

Kihistoria ilikuwa kitovu cha utemi uliofuata milki ya Kiev wakati wa Enzi ya Kati. Kwa muda mrefu eno lake lilkuwa chini ya Lizthuania, baadaye Polandi na Urusi.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads