Pontevedra
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Pontevedra ni mji (manispaa) wa Hispania, makao makuu ya mkoa wa Pontevedra katika Jimbo la Galicia.

Tarehe 1 Januari 2020 wakazi wake walikuwa 83,260. Liko katika Rías Baixas (Galicia) ya Atlantiki, kilomita 600 kaskazini kwa Madrid.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads