Pontevedra

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pontevedra
Remove ads

Pontevedra ni mji (manispaa) wa Hispania, makao makuu ya mkoa wa Pontevedra katika Jimbo la Galicia.

Thumb
Pontevedra

Tarehe 1 Januari 2020 wakazi wake walikuwa 83,260. Liko katika Rías Baixas (Galicia) ya Atlantiki, kilomita 600 kaskazini kwa Madrid.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads